\v 5 Habari ile turipata kwake , na turimiubiri , asema Mungu ni mwangaza, na na akuna ginza dani yake. \v 6 Kama tunasema tuko pamoya naye , na tuna tembeya mungiza , tunalanda , na atutembeye ukweri. \v 7 Kama tunatembeya mu mwangaza , sa vile eko yemoya dani ya mwangaza , tuko shibote pamoya, na damu ya Mutoto yake ina tunausha kububaya bote.