\v 27 Dju yenu , upako ile muripata kwake ina ikala dani yenu , na amuna na lazima ba mifundishe , laki sa vile upako yake ina mifundisha kintu kiote , na iko ya biakweri na ina bongo , inekala dani yake kupitiya mafundisho ile arimipa. \v 28 na sasa , batoto , mwikale dani yake , kwamana , pale atakuya , tukuye na imani , na mukatiya ya kuridi tushi kuye bari na yeye . \v 29 kama munadjuwa asema ni mwenye aki , mudjuwe assement ulewote eko na tumikia aki ana zarika mwake.