Fri Apr 21 2023 11:59:14 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
e3bbfcd984
commit
b4a651174a
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 20 Wakati mwingine wingu lilibaki kwa siku chache tu kwenye masikani. Kwa mazingira kama hayo walilazimika kutii amri ya BWANA - waliweka kambi na kisha kuendelea na safari tena kwa amri yake. \v 21 Wakati mwingine wingu lilikuwepo kambini kuanzia jioni mpaka asubuhi. Na wingu liliponyanyuliwa asubuhi, walisafiri. Kama liliendelea kwa mchana wote na kwa usiku wote, ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo walipoendelea na safari.
|
||||
\v 20 Wakati mwingine wingu lilibaki kwa siku chache tu kwenye masikani. Kwa mazingira kama hayo walilazimika kutii amri ya BWANA - waliweka kambi na kisha kuendelea na safari tena kwa amri yake. \v 21 Wakati mwingine wingu lilikuwepo kambini kuanzia jioni mpaka asubuhi. Na wingu liliponyanyuliwa asubuhi, walisafiri. Kama liliendelea kwa mchana wote na kwa usiku wote, ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo walipoendelea na safari.
|
|
@ -0,0 +1,2 @@
|
|||
\v 22 Hata kama wingu lilibaki kwenye masikani kwa siku mbili, kwa mwezi mmoja, au kwa mwaka mmoja, ili mradi tu limebaki pale, wana wa Israeli walibaki kwenye kambi zao na kusitisha safari. Lakini pale wingu liliponyanyuliwa, walianza safari yao. \v 23 Walifanya kambi kwa amri ya BWANA, na walisafiri kwa amri yake. Walitii amri ya BWANA
|
||||
iliyotolewa kupitia kwa Musa.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 10
|
|
@ -210,6 +210,9 @@
|
|||
"09-11",
|
||||
"09-13",
|
||||
"09-15",
|
||||
"09-18"
|
||||
"09-18",
|
||||
"09-20",
|
||||
"09-22",
|
||||
"10-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue