Sat Apr 22 2023 06:42:44 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
2c0ce52000
commit
25071f9f56
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 38 Ndipo Balaamu alipomjibu Balaki, "Tazama, mimi nimekuja kwako. Je mimi sina mamlaka ya kusema chochote? Mimi ninaweza kusema maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu." \v 39 Balaamu akaenda na Balaki, na Wakafika Kiriathi Huzothi. \v 40 Kisha Balaki akatoa sadaka ya makisai na kondoo na kumpatia Balaamu baadhi ya hiyo nyama na wale viongozi waliokuwa pamoja naye.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 41 Kesho yake asubuhi, Balaki akampeleka Balaamu mpaka juu mahali pa Baali. Kule juu Balaamu aliweza kuona sehemu tu ya kambi za Waisraeli.
|
|
@ -397,6 +397,7 @@
|
|||
"22-28",
|
||||
"22-31",
|
||||
"22-34",
|
||||
"22-36"
|
||||
"22-36",
|
||||
"22-38"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue