Sat Apr 22 2023 08:47:08 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2023-04-22 08:47:09 +03:00
parent 21f42643fd
commit 0b7ac66f06
4 changed files with 6 additions and 1 deletions

1
31/48.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 48 Kisha wale maakida wa jeshi, makamanda wa elfu na makapteni wa mamia, wakaja kwa Musa. \v 49 Wakamwambia, "watumishi wako wamewahesabu wanajeshi ambao wako chini yetu, hakuna hata mmoja wao aliyekosa.

1
31/50.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 50 Tumemletea BWANA sadaka, ambayo kila mmoja amepata, vitu vya dhahabu, metali, timbi, pete za mhuri, vipini na vikuku, ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA." \v 51 Musa na Eliazari kuhani wakapokea kutoka kwao dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi.

1
31/52.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 52 Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750. \v 53 Kila mwanajeshi alikuwa ameteka nyara ya kila mtu kwa ajili yake. \v 54 Musa na Eliazari kuhani wakazichukua zile dhahabu toka kwa makamanda wa maelfu na makepteni wa mamia.Wakavipeleka kwenye hema ya kukutania kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA.

View File

@ -534,6 +534,8 @@
"31-36",
"31-39",
"31-42",
"31-47"
"31-47",
"31-48",
"31-50"
]
}