sw_mat_text_reg/05/43.txt

1 line
283 B
Plaintext

\v 43 Mmesikia imenenwa, 'Umpende jirani yako, na umchukie adui yako.' \v 44 Lakini nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanao waudhi, \v 45 Ili kwamba muwe watoto wa baba yenu aliye mbinguni. Kwa kuwa anafanya jua liwaangazie wabaya na wema, na anawanyeshea mvua waovu na wema.