sw_mat_text_reg/05/40.txt

1 line
270 B
Plaintext

\v 40 Na kama yeyote anatamani kwenda na wewe mahakamani na akakunyang'anya kanzu yako, mwachie na joho lako pia. \v 41 Na yeyote akulazimishaye kwenda naye maili moja, nenda naye maili mbili. \v 42 Kwa yeyote akuombaye mpatie, na usimwepuke yeyote anayehitaji kukukopa.