sw_mat_text_reg/05/31.txt

1 line
240 B
Plaintext

\v 31 Imenenwa pia, yeyote amfukuzaye mkewe, na ampe hati ya talaka.' \v 32 Lakini mimi nawaambia, yeyote anaye mwacha mke wake, isipokuwa kwa kwa sababu ya zinaa, amfanya kuwa mzinzi. Na yeyote amuoaye baada ya kupewa talaka afanya uzinzi.