sw_mat_text_reg/05/21.txt

1 line
349 B
Plaintext

\v 21 Mmesikia ilinenwa zamani kuwa, "usiue" na 'yeyote auaye yuko katika hatari ya hukumu.' \v 22 Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu.