sw_mat_text_reg/05/13.txt

1 line
299 B
Plaintext

\v 13 Ninyi ni chumvi ya dunia. Lakini kama chumvi imepoteza ladha yake, itawezaje kufanyika chumvi halisi tena? Kamwe haiwezi kuwa nzuri kwa kitu kingine chochote tena, isipokuwa ni kutupwa nje na kukanyagwa na miguu ya watu. \v 14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojegwa juu ya mlima haufichiki.