sw_mat_text_reg/05/01.txt

1 line
279 B
Plaintext

\v 1 Yesu alipo uona umati, akaondoka na kuelekea Mlimani. Alipokuwa ameketi chini, wanafunzi wake wakaja kwake. \v 2 Akafunua kinywa chake na akawafundisha, akisema, \v 3 "Heri walio maskini wa roho maana ufalme wa mbinguni ni wao. \v 4 Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.