sw_mat_text_reg/21/42.txt

1 line
159 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 42 Yesu akasema, "Hamkusoma katika maandiko, 'Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi. Hili lilitoka kwa Bwana, na inashangaza machoni kwetu?'