Wed Apr 19 2023 12:07:31 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
cef540cb55
commit
ec5ce9cedb
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 35 Unapopima urefu, uzito, au wingi usitumie vipimo vya udanganyifu. \v 36 Tumia mizani iliyo halali, mawe ya kupimia uzito yaliyo halali, efa halali, hini iliyo halali. Mimi ndimi Yahwe Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya utumwa ya Misri. \v 37 Utayatii maagizo yangu na sheria zangu zote na kuzitenda. Mimi ndimi Yahwe.
|
||||
\v 35 Unapopima urefu, uzito, au wingi usitumie vipimo vya udanganyifu. \v 36 Tumia mizani iliyo halali, mawe ya kupimia uzito yaliyo halali, efa halali, hini iliyo halali. Mimi ndimi Yahwe Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya utumwa ya Misri. \v 37 Utayatii maagizo yangu na sheria zangu zote na kuzitenda. Mimi ndimi Yahwe.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 20 \v 1 Yahwe akazungumza na Musa, akasema, \v 2 "Waambie watu wa Waisraeli, 'Mtu yeyote miongoni mwa watu Israeli, au Mgeni yeyote anayeishi miongoni mwa Waisraeli atakayemtoa mtoto wake yeyote kwa Moleki, hakika atauawa. Ni lazima watu wa nchi wamponde kwa mawe.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
3 Pia nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na kumkatilia mbali kutoka miongoni mwa watu wake kwa sababu amemtoa mtoto wake kwa Moleki, ili kupatia unajisi mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu. 4 Na kama watu wa nchi watayafumba macho yao kwa mtu huyo anapomtoa mmoja wa watoto wake kwa Moleki, kama hawatamwua mtu huyo, ndipo Mimi mwenyewe nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na ukoo wake, 5 Nami nitamkatilia mbali pamoja na yeyote anayejifanya kahaba ili kufanya umalaya na Moleki.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 20
|
|
@ -299,6 +299,9 @@
|
|||
"19-29",
|
||||
"19-31",
|
||||
"19-32",
|
||||
"19-33"
|
||||
"19-33",
|
||||
"19-35",
|
||||
"20-title",
|
||||
"20-01"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue