Tue Apr 18 2023 22:10:29 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
9ef7cc14b9
commit
7e44386195
|
@ -1,2 +1 @@
|
|||
\v 22 Kisha Haruni akainua juu mikono yake mbele ya watu na kuwabariki, kisha akashuka chini kutoka mahali alipokuwa akitoa hiyo sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani. \v 23 Musa na Haruni wakaingia ndani ya hema la kukutania, kisha wakatoka nje tena na kuwabariki watu, na utukufu wa Yahwe ukaonekana kwa watu wote.\v 24 Moto ukashuka kutoka kwa Yahwe na ukairamba sadaka ya kuteketezwa na mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu walipoona jambo hili, wakapiga kelele na kulala chini.
|
||||
|
||||
\v 22 Kisha Haruni akainua juu mikono yake mbele ya watu na kuwabariki, kisha akashuka chini kutoka mahali alipokuwa akitoa hiyo sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani. \v 23 Musa na Haruni wakaingia ndani ya hema la kukutania, kisha wakatoka nje tena na kuwabariki watu, na utukufu wa Yahwe ukaonekana kwa watu wote. \v 24 Moto ukashuka kutoka kwa Yahwe na ukairamba sadaka ya kuteketezwa na mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu walipoona jambo hili, wakapiga kelele na kulala chini.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 10 \v 1 Nadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokubalika mbele za Yahwe, moto ambao hawakuwa wameamuriwa wao kuutoa. 2 Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahwe na kuwala, nao wakafa mbele za Yahwe.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 10
|
|
@ -144,6 +144,8 @@
|
|||
"09-12",
|
||||
"09-15",
|
||||
"09-18",
|
||||
"09-20"
|
||||
"09-20",
|
||||
"09-22",
|
||||
"10-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue