Mon Apr 24 2023 09:55:42 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
b68fbf9972
commit
b7aee691d4
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia. \v 26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu."
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 4 \v 1 Kisha Elifazi kutoka kabila la temani akajibu na kusema, \v 2 Kama mtu yeyote akijaribu kuzungumza na wewe, je utakosa ustahimilivu? Lakini ni nani anaweza kujizuia asizungumze? \v 3 Tazama, wewe umewafunza wengi; wewe imeipa nguvu mikono iliyokuwa dhaifu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 4 Maneno yako yamemsaidia yeye mwanamme aliyekuwa anaanguka; wewe umeyaimarisha magoti dhaifu. \v 5 Lakini sasa matatizo yamekuja kwako, na wewe umechoka; yanakugusa wewe, na wewe umetatizika. \v 6 Je si hofu yako imani yako, na ukamilifu wa njia zako tumaini lako?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 4
|
|
@ -63,6 +63,10 @@
|
|||
"03-15",
|
||||
"03-17",
|
||||
"03-20",
|
||||
"03-23"
|
||||
"03-23",
|
||||
"03-25",
|
||||
"04-title",
|
||||
"04-01",
|
||||
"04-04"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue