Wed Apr 26 2023 21:55:25 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
0cd87412c5
commit
6441775fef
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 18 Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu? \v 19 Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu. \v 20 Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 21 Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake. \v 22 Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 23 Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu. \v 24 Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe."
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura
|
|
@ -444,6 +444,9 @@
|
|||
"37-10",
|
||||
"37-12",
|
||||
"37-14",
|
||||
"37-16"
|
||||
"37-16",
|
||||
"37-18",
|
||||
"37-21",
|
||||
"37-23"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue