Tue Apr 25 2023 17:07:50 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
44e3d8eccc
commit
642c1c42ea
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 17 Wewe unaleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira zako dhidi yangu; wanishambulia na majeshi mapya.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 18 Kwa nini, basi, ulinitoa tumboni? Natamani ningekata roho na ili jicho lolote lisinione. \v 19 Ningelikuwa kama asiyekuwepo; ningelichukuliwa kutoka tumboni mpaka kaburini.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 20 Je si siku zangu pekee ni chache? Acha basi, usinisumbue, ili kwamba nipate kupumzika kidogo \v 21 kabla sijaenda huko ambako sitarudi, kwenye nchi ya giza na kivuli cha mauti, \v 22 ni nchi ya giza kama usiku wa manane, nchi ya kivuli cha mauti, isiyokuwa na mpangilio, ambayo nuru yake ni kama usiku wa manane.'"
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura
|
|
@ -138,6 +138,9 @@
|
|||
"10-08",
|
||||
"10-10",
|
||||
"10-12",
|
||||
"10-15"
|
||||
"10-15",
|
||||
"10-17",
|
||||
"10-18",
|
||||
"10-20"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue