Wed Apr 26 2023 23:22:08 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2023-04-26 23:22:09 +03:00
parent a3521543b3
commit 4d954d822d
5 changed files with 9 additions and 2 deletions

View File

@ -1 +1 @@
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda. \v 20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu. \v 21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
\v 19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda. \v 20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu. \v 21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.

1
40/22.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote. \v 23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake. \v 24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?

2
41/01.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1,2 @@
\c 41 1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba? 2
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?\v 3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?

1
41/title.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
Sura 41

View File

@ -489,6 +489,9 @@
"40-10",
"40-12",
"40-15",
"40-17"
"40-17",
"40-19",
"40-22",
"41-title"
]
}