Wed Apr 26 2023 09:48:09 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
9f989f33c1
commit
0548a52e42
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo. \v 23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia. \v 25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 13
|
|
@ -159,6 +159,10 @@
|
|||
"12-09",
|
||||
"12-11",
|
||||
"12-13",
|
||||
"12-16"
|
||||
"12-16",
|
||||
"12-19",
|
||||
"12-22",
|
||||
"12-24",
|
||||
"13-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue