sw_dan_text_ulb/05/10.txt

1 line
243 B
Plaintext

\v 10 Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwa sababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, "Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.