sw_dan_text_ulb/10/16.txt

1 line
372 B
Plaintext

\v 16 Yeye aliyekuwa kama wana wa mtu alinigusa mdomo wangu na nifumbua kinywa changu na nilimwambia huyo aliyekuwa amesimama mbele yangu: "Bwana wangu, niko katika masumbuko makali kwa sababu ya maono; sina nguvu ndani yangu iliyosalia. \v 17 Mimi ni mtumishi wako. Je, ninawezaje kuongea na Bwana wangu? Kwa kuwa sasa sina nguvu, na hakuna pumzi iliyosalia ndani yangu."