sw_dan_text_ulb/07/11.txt

1 line
319 B
Plaintext

\v 11 Niliendelea kuangalia kwa sababu ya maneno ya kiburi yaliyosemwa na pembe. Nilitazama wakati mnyama anauliwa, na mwili wake uliharibiwa, na ulitolewa kwa ajili ya kuchomwa moto. \v 12 Na kwa wale wanyama wanne waliosalia, mamlaka yao yalitwaliwa mbali, lakini maisha yao yaliendelezwa kwa kipindi fulani cha muda.