sw_dan_text_ulb/06/19.txt

1 line
299 B
Plaintext

\v 19 Kisha katika mapambazuko mfalme aliamka na kwa haraka alienda kwenye tundu la simba. \v 20 Na alipokaribia kwenye tundu, alimwita Danieli kwa sauti ya huzuni, akimwambia Danieli, "Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je Mungu wako ambaye anamtumkia daima ameweza kukuokoa kutoka katika simba?