sw_dan_text_ulb/06/08.txt

1 line
242 B
Plaintext

\v 8 Sasa mfalme, litoe agizo na utie saini nyaraka ili kwamba isije ikabadilika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi, hivyo haiwezi ikabatilishwa. \v 9 Basi, mfalme Dario alitia saini nyaraka kwa kuifanya amri kuwa sheria.