sw_dan_text_ulb/02/40.txt

1 line
177 B
Plaintext

\v 40 Kutakuwa na ufalme wa tatu, wenye nguvu kama chuma, kwa kuwa chuma huvunja vipande vipande vitu vingine na kupondaponda kila kitu. Itaviharibu vitu hivi vyote na kuvisaga.