diff --git a/02/44.txt b/02/44.txt index e5d3bf6..f490efc 100644 --- a/02/44.txt +++ b/02/44.txt @@ -1 +1 @@ -\v 44 Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine. Utazivunja falme zingine vipande vipande na kuzikomesha zote, nao utadumu milele. \v 45 Kama tu ulivyoona, jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu. Lilivunjavunja chuma, shaba, udongo, fedha, na dhahabu katika vipande vipande. Mungu mkuu amekujulisha wewe, mfalme, kile kitakachotokea baada ya haya. Ndoto ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika. 46 Mfalme Nebukadneza alianguka kifudifudi mbele ya Daniel na alimheshimu; aliamuru kwamba sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake. 47 Mfalme alimwambia Danieli, " Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme, na ambaye hufunua mafumbo, kwa kuwa umekuwa ukiweza kufumbua mafumbo haya." 48 Ndipo mfalme alimfanya Danieli kuwa wa kuheshimiwa sana na alimpa zawadi nyingi nzuri. Alimfanya kuwa mtawala juu ya jimbo lote la Babeli. Danieli akawa liwali mkuu juu ya watu wenye hekima wa Babeli. 49 Danieli alipeleka ombi kwa mfalme, na mfalme aliwateua Shadraka, Meshaki na Abedinego kuwa watawala juu ya jimbo la Babeli. Lakini Danieli alisalia katika ikulu ya mfalme. \ No newline at end of file +\v 44 Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine. Utazivunja falme zingine vipande vipande na kuzikomesha zote, nao utadumu milele. \v 45 Kama tu ulivyoona, jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu. Lilivunjavunja chuma, shaba, udongo, fedha, na dhahabu katika vipande vipande. Mungu mkuu amekujulisha wewe, mfalme, kile kitakachotokea baada ya haya. Ndoto ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika. \ No newline at end of file diff --git a/02/46.txt b/02/46.txt new file mode 100644 index 0000000..281508e --- /dev/null +++ b/02/46.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 46 Mfalme Nebukadneza alianguka kifudifudi mbele ya Daniel na alimheshimu; aliamuru kwamba sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake. \v 47 Mfalme alimwambia Danieli, " Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme, na ambaye hufunua mafumbo, kwa kuwa umekuwa ukiweza kufumbua mafumbo haya." \ No newline at end of file diff --git a/02/48.txt b/02/48.txt new file mode 100644 index 0000000..d4151af --- /dev/null +++ b/02/48.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 48 Ndipo mfalme alimfanya Danieli kuwa wa kuheshimiwa sana na alimpa zawadi nyingi nzuri. Alimfanya kuwa mtawala juu ya jimbo lote la Babeli. Danieli akawa liwali mkuu juu ya watu wenye hekima wa Babeli. \v 49 Danieli alipeleka ombi kwa mfalme, na mfalme aliwateua Shadraka, Meshaki na Abedinego kuwa watawala juu ya jimbo la Babeli. Lakini Danieli alisalia katika ikulu ya mfalme. \ No newline at end of file diff --git a/03/title.txt b/03/title.txt new file mode 100644 index 0000000..df33d0c --- /dev/null +++ b/03/title.txt @@ -0,0 +1 @@ +Sura 3 \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 5c00443..7682247 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -67,6 +67,10 @@ "02-36", "02-39", "02-40", - "02-41" + "02-41", + "02-44", + "02-46", + "02-48", + "03-title" ] } \ No newline at end of file