Fri Sep 01 2023 19:38:33 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
a2d53f5056
commit
53b3c5cb32
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 24 Kwa maana " miili yote ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la jani. Jani hunyauka, na ua hudondoka, \v 25 lakini neno la Bwana hubakia milele." Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 2 \v 1 Kwa hiyo wekeni pembeni uovu wote, udanganyifu, unafiki, wivu na kashifa. \v 2 Kama watoto wachanga, mtamani maziwa safi ya kiroho, ili kwamba mweze kukua ndani ya wokovu, \v 3 kama mmeonja kwamba Bwana ni mwema.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 4 Njoni kwake aliye jiwe hai linaloishi ambalo limekataliwa na watu, lakini hilo limechaguliwa na Mungu na ni la thamani kwake. \v 5 Ninyi pia ni kama mawe yaliyo hai yanayojengwa juu kuwa nyumba ya kiroho, ili kuwa ukuhani mtakatifu ambao hutoa dhabihu za kiroho zinazokubaliwa kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 6 Andiko husema hivi, "Tazama, nimeweka katika Sayuni jiwe la pembeni, kuu na lililochaguliwa na la thamani. Yeyote aaminiye katika yeye hataona aibu".
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 2
|
|
@ -47,6 +47,11 @@
|
|||
"01-15",
|
||||
"01-18",
|
||||
"01-20",
|
||||
"01-22"
|
||||
"01-22",
|
||||
"01-24",
|
||||
"02-title",
|
||||
"02-01",
|
||||
"02-04",
|
||||
"02-06"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue