Thu Apr 27 2023 02:49:29 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
7feef978ce
commit
922d8bfe93
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 45 Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize), \v 46 Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi, \v 47 Elieli, Obedi, na Yaasieli mmezobai.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 12 \v 1 Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano. \v 2 Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, jamaa wa Sauli.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 12
|
|
@ -215,6 +215,9 @@
|
|||
"11-30",
|
||||
"11-34",
|
||||
"11-38",
|
||||
"11-42"
|
||||
"11-42",
|
||||
"11-45",
|
||||
"12-title",
|
||||
"12-01"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue