Thu Apr 27 2023 10:02:15 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2023-04-27 10:02:15 +03:00
parent 17681c6c47
commit 81313a159f
5 changed files with 8 additions and 2 deletions

View File

@ -1 +1 @@
27 Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea. 28 Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu. \v 29 Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, mikate kaki isiotiwa chachu, sadaka zilizookwa, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya kiasi na ukubwa wa vitu.
\v 27 Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea. \v 28 Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu. \v 29 Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, mikate kaki isiotiwa chachu, sadaka zilizookwa, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya kiasi na ukubwa wa vitu.

1
23/30.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 30 Pia walisimama kila asubui kumshukuru na kumsifu Yahweh. Pia walifanya hivi jioni \v 31 na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh, siku ya Sabato na sherehe za mwezi mpya na siku za maakuli. Idadi maalumu, iliyo tolewa kwa amri, siku zote ilibidi iwepo mbele ya Yahweh.

1
23/32.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 32 Walikuwa viongozi wa hema la kukutania, patakatifu, na kuwasaidia jamaa zao wa uzao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh.

1
24/title.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
Sura 24

View File

@ -343,6 +343,9 @@
"23-15",
"23-19",
"23-21",
"23-24"
"23-24",
"23-27",
"23-30",
"23-32"
]
}