Thu Apr 27 2023 01:06:09 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
489dd83c4f
commit
504f0da276
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 23 Wana wa nusu ya kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Bali Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni). \v 24 Hawa walikuwa viongozi wa koo zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa mashujaa hodari,wanaume mashuhuri, viongozi wa familia zao.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 25 Lakini walikuwa sio waaminifu kwa Mungu wa babu zao. Walifanya uzinzi na miungu ya watu wa hiyo nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao. \v 26 Mungu wa Israeli akamchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwapeleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo hadi leo.
|
|
@ -112,6 +112,9 @@
|
|||
"05-14",
|
||||
"05-16",
|
||||
"05-18",
|
||||
"05-20"
|
||||
"05-20",
|
||||
"05-23",
|
||||
"05-25",
|
||||
"06-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue