doe_act_text_reg/19/21.txt

1 line
329 B
Plaintext

\v 21 ya Pauli kukamilisha huduma yankhe kudya Efeso, Roho akamwongoza kwita Yelusalemu kufosela Makedonia na Akaya; Akalonga, ''Baada ya kuwako huko, yonipasa kuilola Lumi pia.'' \v 22 Pauli akawatuma Makedonia wanahina wankhe waidi, Timotheo na Elasto, ambao wakala wamemsaidia. Lakini yeye mwenyewe akasigala Asia kwa muda.