swc_mat_text_reg/04/23.txt

1 line
507 B
Plaintext

\v 23 Kisha Yesu alitembea Galilaya yote, na kuwubiri ndani ya ma sinagogi, kitagaza neno la Mungu na kuponya magonfwa ya kila ayina ya ku pooza ndani ya batu \v 24 Habari yake ilitembeya mupaka suria yote na batu benye baliteta ba gonfwa, na benye baliteseka sana mukila magonfua mbali mbali, na mawumivu na benye ma pepo ma pepo muchafukifwafwa, kuposza; na Yesu aliba ponya. \v 25 Na batu mingiu balimu fwata taka GHalilaya, na Dekapoli, Yerusalemu, Yudea na hata kutoka pembeni pembeni yote ya Yerodani.