|
\c 22 \v 1 Yesu ali bambiya tena kwa mifano. \v 2 «Ufalme wa mbnguni inafanan an mufalme mwe ngine a lita ya risho kusharekeya wa ndawa ya mtoto wake. \v 3 Alituma batunishi bake ju bahite bale benye bali bayita ku ndowa, lakini a ba kupenda ku kuya. |