swc_mat_text_reg/19/13.txt

1 line
287 B
Plaintext

\v 13 Kisha wakamuleta watoto kidogo ju abatilie mikono na ku baombea, lakini wana funzi baka bafukuza. \v 14 Bali Yesu akasemea: " acha batoto ba dogo na musibakaze bakuye kwangu, kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni ya kama bao. \v 15 NA akaweka mikomo yake yulu yabo, na kisha akatoka pale.