swc_mat_text_reg/19/05.txt

1 line
278 B
Plaintext

\v 5 Na akasema tena: "njo maana, mwanaume ataacha baba yake na mama yake na ataungana na mwana muke wake, na bote bawili bata kwa mwili moja?. \v 6 Nyokwa maona habiko tena batu bawili, lakini bana kwa mwili mojao kwa hiyo, enye Mungu anaunganisha, mutu ata moja asiachanishe".