swc_mat_text_reg/12/38.txt

1 line
386 B
Plaintext

\v 38 Kisha ba noya wa baandishi na bafarisayo banamujibia Yesu na bakasema: " Mwalino tuna penda utuonyeshe ishara " . \v 39 Lakini anajibia na kubaambia, kizaki kibaya na kya zimaa banafuta ishara. Lakini hakuna ishara yenye itapewa tena kuacha ishara ya yema nabii . \v 40 Kama vile yona alifanya siku tatu mu tumbu ya samaki, njo vile mutoto wa nchi keva siku tatu muchana na busiku