swc_mat_text_reg/05/23.txt

1 line
229 B
Plaintext

\v 23 Nanisa na mwenye ata towa sadaka yake ku maza babu na una djuwa kama ndugu yako iko na lazima ya makuta. \v 24 Umwachiye ile makuta yako mbele ya mazababu, wende utengeneze kwanza na ndugu yako kisha ukuye upane sadaka yako