swc_mat_text_reg/18/04.txt

1 line
339 B
Plaintext

\v 4 Ju ya ile, mtu mwenye ata jishusha kama mtoto ule njo mukubwa zayidi kwa ufalme wa mbinguni. \v 5 Na wule wote ata pokea uyu mtoto mudogo kwa jina la ngu, a me nipokeya. \v 6 Lakini bale bote bato sukuma aba batoto kidogo benye bana nila mini ba na fanya zambi, na inge kuwa muzuri kwake bamu funge lijiwe kubwa na ba mutupe ku baali.