swc_mat_text_reg/03/16.txt

1 line
324 B
Plaintext

\v 16 16Kwisha tu kabatizwa, Yesu anatoka mu maipaka hivi kwangaria hivi mbingu ikafunguka wazi yulu yake akaona Roho ya Mungu ikamushukiya kwa mufano wa jiwa, na kusimama Yesu yulu yake. \v 17 Mara moya, sauti ika anza kusema kutoka mule mu mbingu, inasema: «uyu njo mutota yangu minapenda kupita. Ananipaka furaha sana.»