swc_mat_text_reg/17/26.txt

1 line
375 B
Plaintext

\v 26 Wakati Petro ana jibiya: " kwa bengine" Yesu aka mambiya: "ivi bata waliwa bana toka katika kulipa. \v 27 Lakini dju ya ku tatala ku fanya mokosa (zambi), ku balipishi ya kodi, wende ku mayi, tupandobo ndani na utoshe sanati yenye ina kwa yakwa ku ndobo; wakati uta fungula kinua yake, uta ona shekeli moya. Kama tayo na uyi patiyi ba lipishi kodi sababu yako na miye".