swc_mat_text_reg/22/15.txt

1 line
422 B
Plaintext

\v 15 Kisha, ba falisayo baka enda kutagarisho gisi bata nutiliya Yesu mutego ku pitiliya ma semi yake tu. \v 16 Na baka mtumiya bana funzi babo, pamoya na ba herodia. Baka sema na Yesu, «Mwalimo tu na juwa kama una sema kweli na tena una fundisha njiya ya Mungu na kweli. Na awuka mata ata masemi ya mtu na awa fanya kupendaleya na batu. \v 17 Sasa utua mbia, una waza nini? ni ya maana kulipa ya Kaisaria wala apana?»