swc_mat_text_reg/22/11.txt

1 line
264 B
Plaintext

\v 11 Lakini wakati mufalme ali ingiya ju ya ku ona benye balialikwa, aliona mtu moya aku vala maguwa ya (karamu) ku sherekeya. \v 12 Na mfalme ali mu waliza, "Ndugu, na muna gani una hingiya apa bili nguo ya kusherekeya?" Na mtu alinyamaza kimia bila kusema neno.