swc_mat_text_reg/20/25.txt

1 line
413 B
Plaintext

\v 25 Lakini Yesu ali baita mwenyewe na kubaambia, " muna fahumu" kama, watawala wamataifa. \v 26 Lakini isikuwe hivi kwenu. Lakini mwenye yote ana taka kuwa mukubwa piongoni, yenu, lazima akuwe mtumishi yenu. \v 27 Na huyu anataka kuwa wa kwanza miongoni yenu lazima akuwe mtumishi yenu. \v 28 Kama vile mwana wa adamu hakukuya kutumikiwa, lakini ni juu ya kutumika na kutoa maisha yake kuwa mukombozi kwa mingi.