|
\c 20 \v 1 Mana ake ufalme wa mbingu inafanana na mwenye shamba, alilamuka asubuhi sana kutafuta bafanyakazi katika shamba yake ya vinyo. \v 2 Kisha naye kubaliana na bafanyakazi dinari moya kwa siku moya. Alibatuma kwenda katika shamba yake ya vinyo. |