swc_mat_text_reg/20/01.txt

1 line
251 B
Plaintext

\c 20 \v 1 Mana ake ufalme wa mbingu inafanana na mwenye shamba, alilamuka asubuhi sana kutafuta bafanyakazi katika shamba yake ya vinyo. \v 2 Kisha naye kubaliana na bafanyakazi dinari moya kwa siku moya. Alibatuma kwenda katika shamba yake ya vinyo.