swc_mat_text_reg/01/15.txt

1 line
384 B
Plaintext

\v 15 Eliudi arimuzala Elieza, na Elieza arimuzala Matani, na Matani arimuzala Yakobo . \v 16 Yakobo na ye arimuzala Yusufu bwana yake ya Miriamu mama yake wa Yesu Kristu ambao kwenye alizaliwa. \v 17 Kutoka kizazi ya Ibrahimu mupaka Daudi ilku wa kizazi kunu na ine , na wakati mufalme Daudi walikuwa mubutumwa ku mufi wa babeli kizazi ilkuwa kunu na ine mpaka wakati wa Yesu Kristo.