swc_mat_text_reg/02/19.txt

1 line
350 B
Plaintext

\v 19 Herode alipokuwa amekwisha kufa, malaika wa Bwana akamutokea Yosefu katika ndoto kule Misri. \v 20 Akamwambia: «Amuka, utwae mtoto pamoja na mama yake, na urudie nao katika inchi ya Israeli, kwa maana wale waliotafuta kumwua wamekwisha kufa.» \v 21 Basi Yosefu akaamuka, akamutwaa mtoto pamoja na mama yake na kurudia katika inchi ya Israeli.