|
\c 24 \v 1 Yesu alitoka kuhekalu anarudia kwake. Banafunzi wake baka musungelea na banomoonyesha majengo ya hekalu. \v 2 Lakini alibajibia, «Hamuyaona bado mamboile yote ? Kweli nabaambia, hakuma lijewa hata moja enye itabakia yulu ya lijewa ingine bila kuanguka.» |