swc_mat_text_reg/28/18.txt

1 line
243 B
Plaintext

\v 18 Yesu aka chofea kule beko, akabambiya hivi:«Uwezo wote ba nani kaburia mumbingu mote napa dunia yote. \v 19 Mwende sasa mukaeuze batu bama kabila yote bakuye banafunzi yangu mwi ba batize kwa jina ya Baba na ya Mwana na Roho Mutakatifu.