1 line
332 B
Plaintext
1 line
332 B
Plaintext
\v 13 Kisha Yesu akafika pale kutoka ku Galilaya kumu mutoni munene ya Yordani juu yoano amubatize. \v 14 Lakini yoano ali anzatu kumu kataria, eko nasema: «Ni miye njo niko nataka weye unibatize, sasa weye ukuye kwangu miye?» \v 15 Yesu akamujibu na kusema: «acha tumbele yende vile; juu iko muzuri tu eneshe kilankitu kizuri». |