swc_mat_text_reg/25/44.txt

1 line
438 B
Plaintext

\v 44 Halafu nao watajibu: “Bwana, ni wakati gani tulipokuona ukisikia njaa, au kiu, au ukikuwa mugeni, au uchi, au mugonjwa, au mufungwa, nasi hatukukusaidia?” \v 45 Naye mfalme atawajibu: “Kweli ninawaambia: kila kitu mulichokosa kumutendea mmoja wa hawa wanaohesabiwa kuwa wadogo, hamukunitendea mimi. \v 46 Halafu hawa watakwenda kwenye nafasi watakapoazibiwa kwa milele, lakini wenye haki wataingia kwenye uzima wa milele.”»